16 Na Daudi akaanza kumtafuta Mungu wa kweli kwa ajili ya yule mvulana, Daudi akafunga kabisa,+ akaingia ndani, akakesha usiku na kulala chini kwenye udongo.+
14 Takaseni wakati wa kufunga.+ Iteni kusanyiko kuu.+ Kusanyeni pamoja wanaume wazee, wakaaji wote wa nchi, kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ mlilieni Yehova awape msaada.+