Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utanisahau mpaka wakati gani, Ee Yehova?+ Milele?+Utanificha uso wako mpaka wakati gani?+ Maombolezo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa nini unatusahau milele,+ hivi kwamba unatuacha kwa siku nyingi?+