Zaburi 141:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama mtu anavyoatua na kupasua kuni juu ya nchi,Ndivyo mifupa yetu imetawanywa katika kinywa cha Kaburi.*+ Isaya 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Sayuni akaendelea kusema: “Yehova ameniacha,+ na Yehova mwenyewe amenisahau.”+
7 Kama mtu anavyoatua na kupasua kuni juu ya nchi,Ndivyo mifupa yetu imetawanywa katika kinywa cha Kaburi.*+