Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+

  • 2 Wakorintho 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa kweli, tuliona ndani yetu wenyewe kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa hivyo ili uhakika+ wetu uwe, si katika sisi wenyewe, bali katika Mungu ambaye huwafufua wafu.+

  • Waebrania 11:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Walipigwa kwa mawe,+ walijaribiwa,+ walikatwa vipande-vipande kwa msumeno, walikufa+ kwa kuuawa kwa upanga, walitembea huku na huku wakiwa wamevikwa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevikwa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji,+ katika dhiki,+ wakitendewa vibaya;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki