Zaburi 54:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana alinikomboa kutoka katika kila taabu,+Nalo jicho langu limewatazama adui zangu.+ Zaburi 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+ Yeremia 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+
10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+