Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Zaburi 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+ Zaburi 91:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Utatazama kwa macho yako tu+Na kuona malipo ya waovu.+ Zaburi 92:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na jicho langu litawatazama adui zangu;+Masikio yangu yatasikia habari za wale wanaosimama juu yangu, watenda-maovu.
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+
10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+
11 Na jicho langu litawatazama adui zangu;+Masikio yangu yatasikia habari za wale wanaosimama juu yangu, watenda-maovu.