Zaburi 37:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+ Zaburi 91:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Utatazama kwa macho yako tu+Na kuona malipo ya waovu.+ Zaburi 112:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moyo wake hauwezi kutikiswa;+ hataogopa,+ע [ʽAʹyin]Mpaka awatazame wapinzani wake.+
34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+Naye atakuinua uimiliki dunia.+Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+