9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+
18 Bwana atanikomboa kutoka katika kila tendo la uovu+ naye ataniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni.+ Utukufu na uwe kwake milele na milele. Amina.