Danieli 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+ Marko 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+ 1 Petro 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa
5 Basi wanaume hao wakasema: “Hatutapata kisingizio chochote juu ya Danieli huyu, isipokuwa tukitafute juu yake katika sheria ya Mungu wake.”+
17 Ndipo Yesu akasema: “Mlipeni Kaisari vitu vya Kaisari,+ lakini Mungu vitu vya Mungu.”+ Nao wakaanza kumstaajabia.+
13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni+ wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu:+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa