Methali 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake,+ lakini anayesikiliza shauri ni mwenye hekima.+ Methali 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+ Methali 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.
17 Mtu wa kwanza katika kesi yake ni mwadilifu;+ mwenzake huingia naye hakika humchunguza kwa undani.+
12 Je, umemwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?+ Kuna tumaini zaidi kwa mjinga+ kuliko kwake.