Nehemia 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hao walitumikia katika siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua+ mwana wa Yozadaki na katika siku za gavana Nehemia na Ezra+ aliyekuwa kuhani na mwandishi.*
26 Hao walitumikia katika siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua+ mwana wa Yozadaki na katika siku za gavana Nehemia na Ezra+ aliyekuwa kuhani na mwandishi.*