14 Nao wanaume wazee+ wa Wayahudi wakajenga+ na kufanya maendeleo wakichochewa na unabii wa Hagai+ nabii na Zekaria+ mjukuu wa Ido,+ wakajenga na kuimaliza kutokana na agizo la Mungu wa Israeli+ na kutokana na agizo la Koreshi+ na Dario+ na Artashasta+ mfalme wa Uajemi.
2Na ikawa kwamba katika mwezi wa Nisani,+ katika mwaka wa 20+ wa Mfalme Artashasta,+ divai ilikuwa mbele yake, na mimi, kama kawaida, nikaichukua divai hiyo na kumpa mfalme.+ Lakini sikuwa nimepata kuwa na huzuni mbele yake kamwe.+