Zekaria 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia Zekaria+ mwana wa Berekia mwana wa Ido,+ nabii, likisema: Zekaria 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na wale walio mbali watakuja na kujenga katika hekalu la Yehova.”+ Nanyi mtajua ya kuwa Yehova wa majeshi mwenyewe amenituma kwenu.+ Nayo yatatukia—bila shaka ikiwa mtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.’ ”+
1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia Zekaria+ mwana wa Berekia mwana wa Ido,+ nabii, likisema:
15 Na wale walio mbali watakuja na kujenga katika hekalu la Yehova.”+ Nanyi mtajua ya kuwa Yehova wa majeshi mwenyewe amenituma kwenu.+ Nayo yatatukia—bila shaka ikiwa mtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu.’ ”+