5Naye Hagai+ nabii na Zekaria+ mjukuu wa Ido,+ nabii, wakawatolea unabii Wayahudi waliokuwa katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina+ la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao.+
7 Katika siku ya 24 ya mwezi wa 11, yaani, mwezi wa Shebati, katika mwaka wa pili wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia Zekaria+ mwana wa Berekia mwana wa Ido,+ nabii, likisema: