Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+

  • Mika 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Naye atasimama na kuchunga kwa nguvu za Yehova,+ katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake.+ Nao wataendelea kukaa,+ maana sasa atakuwa mkuu mpaka miisho ya dunia.+

  • Hagai 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Hivi ndivyo Yehova wa majeshi+ amesema, ‘Kikundi hiki cha watu, kimesema: “Wakati haujaja, wakati wa kujengwa kwa nyumba ya Yehova.” ’ ”+

  • Hagai 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye Hagai, mjumbe+ wa Yehova akaendelea kuwaambia watu ujumbe uliotoka kwa Yehova,+ akisema: “ ‘Mimi nipo pamoja nanyi,’+ asema Yehova.”

  • Zekaria 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “ ‘Rudini kwangu,’+ asema Yehova wa majeshi, ‘nami nitarudi kwenu,’+ Yehova wa majeshi amesema.” ’

  • Zekaria 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nalo neno la Yehova wa majeshi likaendelea kuja, na kusema:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki