9 kuwaambia wafungwa,+ ‘Tokeni nje!’+ kuwaambia wale walio gizani,+ ‘Jifunueni!’+ Watalisha kando ya njia, na malisho yao yatakuwa kwenye mapito yote yaliyokanyagwa.+
23 Nami nitasimamisha juu yao mchungaji mmoja,+ naye atawalisha, naam, mtumishi wangu Daudi.+ Yeye mwenyewe atawalisha, na yeye mwenyewe atakuwa mchungaji wao.+
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako,+ kundi la urithi wako, yeye aliyekuwa akikaa peke yake msituni—katikati ya shamba la matunda.+ Na walishe katika Bashani na Gileadi+ kama katika siku za zamani.+