15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+