2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ Zaburi 46:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+
10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+