Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wao wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yake,+ nanyi mwendelee kukaa juu ya nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu tangu zamani za kale na mpaka wakati mrefu ujao.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Ninapendezwa, si na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu ageuke na kuiacha+ njia yake na kwa kweli aendelee kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ maana kwa nini mfe, Ee nyumba ya Israeli?” ’+

  • Malaki 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tangu siku za mababu zenu mmeyaacha masharti yangu wala hamkuyashika.+ Rudini kwangu, nami nitarudi kwenu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

      Nanyi mmesema: “Tutarudi kwa njia gani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki