Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+

  • Yeremia 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na itatukia kwamba baada ya kuwang’oa hakika tena nitawaonyesha rehema+ na kuwarudisha, kila mmoja kwenye fungu la urithi wake na kila mmoja kwenye shamba lake.”+

  • Hosea 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe,+ kwa maana hasira yangu imegeuka kutoka kwake.+

  • Mika 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki