7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
15 Na itatukia kwamba baada ya kuwang’oa hakika tena nitawaonyesha rehema+ na kuwarudisha, kila mmoja kwenye fungu la urithi wake na kila mmoja kwenye shamba lake.”+