Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 72:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye atakuwa na raia kutoka bahari mpaka bahari+

      Na kutoka ule Mto+ mpaka miisho ya dunia.+

  • Zekaria 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nami nitalikatilia mbali gari la vita kutoka katika Efraimu na farasi kutoka katika Yerusalemu.+ Na upinde wa mapigano+ utakatiliwa mbali. Naye atasema amani kwa mataifa;+ na utawala wake utakuwa kutoka bahari mpaka bahari na kutoka Mto mpaka miisho ya dunia.+

  • Luka 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

  • Ufunuo 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikatokea mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana+ wetu na wa Kristo+ wake, naye atatawala akiwa mfalme milele na milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki