Zekaria 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku ya 24 ya mwezi wa 11, yaani, mwezi wa Shebati,* katika mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema: Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:7 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2030, 2116
7 Katika siku ya 24 ya mwezi wa 11, yaani, mwezi wa Shebati,* katika mwaka wa pili wa utawala wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia nabii Zekaria mwana wa Berekia mwana wa Ido, likisema: