1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario,+ mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova lilikuja kupitia nabii Hagai+ kwa ajili ya Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ gavana wa Yuda,+ na kwa ajili ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na kusema: