Ezra 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Wakati huo ndipo kazi ikakoma kwenye nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; nayo ikakoma mpaka mwaka wa pili wa kutawala kwa Dario+ mfalme wa Uajemi. Zekaria 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia Zekaria+ mwana wa Berekia mwana wa Ido,+ nabii, likisema:
24 Wakati huo ndipo kazi ikakoma kwenye nyumba ya Mungu, iliyokuwa Yerusalemu; nayo ikakoma mpaka mwaka wa pili wa kutawala kwa Dario+ mfalme wa Uajemi.
1 Katika mwezi wa nane mwaka wa pili wa Dario,+ neno la Yehova lilimjia Zekaria+ mwana wa Berekia mwana wa Ido,+ nabii, likisema: