5Naye Hagai+ nabii na Zekaria+ mjukuu wa Ido,+ nabii, wakawatolea unabii Wayahudi waliokuwa katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina+ la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao.+
14 Nao wanaume wazee+ wa Wayahudi wakajenga+ na kufanya maendeleo wakichochewa na unabii wa Hagai+ nabii na Zekaria+ mjukuu wa Ido,+ wakajenga na kuimaliza kutokana na agizo la Mungu wa Israeli+ na kutokana na agizo la Koreshi+ na Dario+ na Artashasta+ mfalme wa Uajemi.