12 Naye Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli, na Yoshua mwana wa Yehosadaki+ kuhani mkuu, na mabaki yote ya watu wakaanza kuisikiliza sauti ya Yehova Mungu wao,+ na maneno ya nabii Hagai,+ kulingana na vile Yehova Mungu wao alivyokuwa amemtuma; nao watu wakaanza kuogopa kwa sababu ya Yehova.+