Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika mwaka wa pili wa kuja kwao kwenye nyumba ya Mungu wa kweli huko Yerusalemu,+ katika mwezi wa pili, Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na wengineo wa ndugu zao, makuhani na Walawi, na wale wote waliokuwa wametoka utekwani+ kwenda Yerusalemu wakaanza kazi; basi wakawaweka katika vyeo Walawi+ kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi wawe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova.+

  • Ezra 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hata hivyo, Zerubabeli na Yeshua+ na wengineo wa vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba za Israeli wakawaambia: “Haiwahusu ninyi kujenga pamoja nasi nyumba kwa ajili ya Mungu wetu,+ kwa maana sisi wenyewe tutamjengea Yehova Mungu wa Israeli, kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi,+ mfalme wa Uajemi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki