-
Ezra 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na katika mwaka wa pili wa kuja kwao kwenye nyumba ya Mungu wa kweli huko Yerusalemu,+ katika mwezi wa pili, Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na wengineo wa ndugu zao, makuhani na Walawi, na wale wote waliokuwa wametoka utekwani+ kwenda Yerusalemu wakaanza kazi; basi wakawaweka katika vyeo Walawi+ kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi wawe wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova.+
-
-
Ezra 4:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Hata hivyo, Zerubabeli na Yeshua+ na wengineo wa vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba za Israeli wakawaambia: “Haiwahusu ninyi kujenga pamoja nasi nyumba kwa ajili ya Mungu wetu,+ kwa maana sisi wenyewe tutamjengea Yehova Mungu wa Israeli, kama alivyotuamuru Mfalme Koreshi,+ mfalme wa Uajemi.”
-