20 Hata hivyo, nikawajibu, nikawaambia: “Mungu wa mbinguni,+ Yeye ndiye atakayetupatia mafanikio,+ na sisi watumishi wake, tutasimama, nasi tutajenga; lakini ninyi hamna fungu+ lolote, wala dai la haki, wala ukumbusho+ wowote katika Yerusalemu.”
9 Kwa hiyo mwanamke huyo Msamaria akamwambia: “Wewe, ujapokuwa Myahudi, unawezaje kuniomba maji ya kunywa, na mimi ni mwanamke Msamaria?” (Kwa maana Wayahudi hawana shughuli na Wasamaria.)+