2 “Koreshi mfalme wa Uajemi amesema hivi,+ ‘Yehova Mungu wa mbinguni+ amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu,+ huko Yuda.
11 “Nao walitujibu neno hili, wakisema: ‘Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na dunia,+ nasi tunajenga upya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa miaka mingi kabla ya hii, ambayo mfalme mkuu wa Israeli alijenga na kukamilisha.+
23 Mambo yote yaliyoagizwa+ na Mungu wa mbinguni na yafanywe kwa bidii+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu isije juu ya utawala wa mfalme na wanawe.+