Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Ezra 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 ili waendelee+ kuleta matoleo ya kutuliza+ kwa Mungu wa mbinguni na kusali kwa ajili ya uhai wa mfalme na wanawe.+ Isaya 60:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
10 ili waendelee+ kuleta matoleo ya kutuliza+ kwa Mungu wa mbinguni na kusali kwa ajili ya uhai wa mfalme na wanawe.+
12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+