23 Mambo yote yaliyoagizwa+ na Mungu wa mbinguni na yafanywe kwa bidii+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu isije juu ya utawala wa mfalme na wanawe.+
7 Pia, tafuteni amani kwa ajili ya jiji ambamo nimewapeleka ninyi uhamishoni, nanyi msali kwa ajili yake kwa Yehova, kwa maana katika amani ya jiji hilo kutakuwa na amani kwa ajili yenu wenyewe.+
2 kwa ajili ya wafalme+ na wale wote walio katika cheo cha juu;+ ili tuendelee kuishi maisha shwari na matulivu pamoja na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+