Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mambo yote yaliyoagizwa+ na Mungu wa mbinguni na yafanywe kwa bidii+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu isije juu ya utawala wa mfalme na wanawe.+

  • Yeremia 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, tafuteni amani kwa ajili ya jiji ambamo nimewapeleka ninyi uhamishoni, nanyi msali kwa ajili yake kwa Yehova, kwa maana katika amani ya jiji hilo kutakuwa na amani kwa ajili yenu wenyewe.+

  • 1 Timotheo 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa ajili ya wafalme+ na wale wote walio katika cheo cha juu;+ ili tuendelee kuishi maisha shwari na matulivu pamoja na ujitoaji-kimungu kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki