Ezra 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kila jambo ambalo Mungu wa mbinguni ameagiza linapaswa kufanywa kwa bidii kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu yake isije dhidi ya milki yangu na wanangu.+
23 Kila jambo ambalo Mungu wa mbinguni ameagiza linapaswa kufanywa kwa bidii kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu yake isije dhidi ya milki yangu na wanangu.+