-
Ezra 6:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Na chochote kinachohitajiwa—ng’ombe dume wachanga+ pamoja na kondoo dume+ na wanakondoo+ kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano,+ chumvi,+ divai,+ na mafuta,+ kama watakavyosema makuhani walio Yerusalemu—waendelee kupewa vitu hivyo siku baada ya siku bila kukosa, 10 ili waendelee kutoa matoleo yanayompendeza Mungu wa mbinguni na kumwombea mfalme na wanawe wawe na maisha marefu.+
-