3 “‘Ikiwa anatoa dhabihu ya kuteketezwa kutoka kati ya mifugo yake, anapaswa kutoa mnyama dume asiye na kasoro.+ Atamtoa kwa hiari yake mwenyewe+ mbele za Yehova kwenye mlango wa hema la mkutano.
5 “‘Kisha huyo ng’ombe dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani,+ wataleta damu ya mnyama huyo na kuinyunyiza pande zote za madhabahu,+ kwenye mlango wa hema la mkutano.