Waebrania 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake siku kwa siku ili kutoa utumishi mtakatifu*+ na kutoa mara nyingi dhabihu zilezile,+ ambazo haziwezi kuondoa kabisa dhambi.+
11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake siku kwa siku ili kutoa utumishi mtakatifu*+ na kutoa mara nyingi dhabihu zilezile,+ ambazo haziwezi kuondoa kabisa dhambi.+