-
1 Samweli 2:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Mtu wa Mungu alimjia Eli na kumwambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujitambulisha waziwazi kwa watu wa nyumba ya baba yako walipokuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 28 Naye alichaguliwa kutoka katika makabila yote ya Israeli+ ili anitumikie akiwa kuhani wangu na kupanda juu ya madhabahu yangu+ kutoa dhabihu, kufukiza uvumba,* na kuvaa efodi mbele zangu; nami niliwapa watu wa nyumba ya babu yako dhabihu zote zinazochomwa kwa moto zilizotolewa na Waisraeli.*+
-