14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Musa, akasema: “Namna gani ndugu yako Haruni,+ Mlawi? Ninajua kwamba anaweza kuzungumza vizuri sana. Na sasa yuko njiani anakuja hapa kukutana nawe. Atakapokuona, moyo wake utashangilia.+
27 Kisha Yehova akamwambia Haruni: “Nenda nyikani ukakutane na Musa.”+ Basi akaenda na kukutana naye kwenye mlima wa Mungu wa kweli+ na kumsalimu kwa busu.