3Musa akawa mchungaji wa kondoo wa Yethro,+ baba mkwe wake, kuhani wa Midiani. Alipokuwa akiwaongoza kondoo kuelekea upande wa magharibi wa nyika, hatimaye alifika kwenye mlima wa Mungu wa kweli ulioitwa Horebu.+
18 Sasa watu wote walikuwa wakishuhudia ngurumo na radi, sauti ya pembe, na mlima ukifuka moshi; na walipoona mambo hayo walitetemeka na kusimama mbali.+
16 Utukufu wa Yehova+ uliendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ na wingu likaufunika kwa siku sita. Siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu.