Kutoka 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa kuhani wa Midiani+ alikuwa na mabinti saba, nao wakaja kuteka maji na kujaza vyombo vya kunyweshea kondoo wa baba yao. Kutoka 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa Yethro kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Musa,+ akasikia mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemtendea Musa na watu wake Waisraeli, jinsi Yehova alivyowatoa Waisraeli nchini Misri.+
16 Sasa kuhani wa Midiani+ alikuwa na mabinti saba, nao wakaja kuteka maji na kujaza vyombo vya kunyweshea kondoo wa baba yao.
18 Sasa Yethro kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Musa,+ akasikia mambo yote ambayo Mungu alikuwa amemtendea Musa na watu wake Waisraeli, jinsi Yehova alivyowatoa Waisraeli nchini Misri.+