Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.

  • Mambo ya Walawi 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwishowe akamimina juu ya kichwa cha Haruni kiasi fulani cha mafuta hayo yanayotumiwa kutia mafuta, akamtia mafuta ili kumtakasa.+

  • Hesabu 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na fimbo ya mtu nitakayemchagua+ itachipua, nami nitakomesha manung’uniko ya Waisraeli dhidi yangu,+ ambayo pia wanakunung’unikia.”+

  • Hesabu 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Siku iliyofuata, Musa alipoingia katika hema la Ushahidi, aliona fimbo ya Haruni ya kabila la Lawi imetokeza matumba nayo ilikuwa ikichanua maua na kuzaa matunda ya lozi yaliyoiva.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki