Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Utamleta Haruni na wanawe kwenye mlango wa hema la mkutano+ na kuwaosha kwa maji.+

  • Kutoka 29:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kisha chukua mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na uyamimine juu ya kichwa chake na kumtia mafuta.+

  • Kutoka 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe+ na kuwatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani.+

  • Kutoka 40:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Utamvisha Haruni mavazi matakatifu+ na kumtia mafuta+ na kumtakasa, naye atanitumikia akiwa kuhani.

  • Mambo ya Walawi 21:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Kuhani mkuu miongoni mwa ndugu zake, aliyetiwa mafuta kichwani+ na kuwekwa rasmi ili avae mavazi ya kuhani,+ anapaswa kutunza nywele zake na hapaswi kurarua mavazi yake.+

  • Zaburi 133:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ni kama mafuta bora yanayomiminwa kichwani+

      Yanayotiririka kwenye ndevu,

      Ndevu za Haruni,+

      Na kutiririka mpaka kwenye ukosi wa mavazi yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki