Mambo ya Walawi 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Musa akamleta Haruni na wanawe na kuwaosha kwa maji.+ Waebrania 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+
22 acheni tukaribie tukiwa na mioyo minyoofu na imani kamili, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa na kuwa safi kutokana na dhamiri yenye uovu+ na miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.+