Kutoka 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha utachukua yale mavazi+ na kumvisha Haruni kanzu, joho la efodi lisilo na mikono, efodi, na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga vizuri kabisa kiunoni ule mshipi uliofumwa wa efodi.+ Mambo ya Walawi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akamvisha kanzu,+ akamfunga ukumbuu,+ akamvisha lile joho lisilo na mikono,+ akamvisha efodi+ na kumfunga vizuri kabisa mshipi wa efodi uliofumwa.+
5 Kisha utachukua yale mavazi+ na kumvisha Haruni kanzu, joho la efodi lisilo na mikono, efodi, na kifuko cha kifuani, nawe utamfunga vizuri kabisa kiunoni ule mshipi uliofumwa wa efodi.+
7 Kisha akamvisha kanzu,+ akamfunga ukumbuu,+ akamvisha lile joho lisilo na mikono,+ akamvisha efodi+ na kumfunga vizuri kabisa mshipi wa efodi uliofumwa.+