4 “Haya ndiyo mavazi watakayotengeneza: kifuko cha kifuani,+ efodi,+ joho lisilo na mikono,+ kanzu yenye miraba, kilemba,+ na ukumbuu;+ watamtengenezea Haruni na wanawe mavazi haya matakatifu ili wanitumikie wakiwa makuhani.
4 Anapaswa kuvaa kanzu takatifu ya kitani,+ na suruali fupi*+ ya kitani inapaswa kufunika mwili wake,* na anapaswa kujifunga ukumbuu wa kitani+ na kuvaa kilemba cha kitani+ kichwani. Ni mavazi matakatifu.+ Ataoga kwenye maji+ na kuyavaa.