Mambo ya Walawi 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mwishowe akamimina juu ya kichwa cha Haruni kiasi fulani cha mafuta hayo yanayotumiwa kutia mafuta, akamtia mafuta ili kumtakasa.+ Zaburi 133:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni kama mafuta bora yanayomiminwa kichwani+Yanayotiririka kwenye ndevu,Ndevu za Haruni,+Na kutiririka mpaka kwenye ukosi wa mavazi yake.
12 Mwishowe akamimina juu ya kichwa cha Haruni kiasi fulani cha mafuta hayo yanayotumiwa kutia mafuta, akamtia mafuta ili kumtakasa.+
2 Ni kama mafuta bora yanayomiminwa kichwani+Yanayotiririka kwenye ndevu,Ndevu za Haruni,+Na kutiririka mpaka kwenye ukosi wa mavazi yake.