Kutoka 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Utamtengenezea Haruni ndugu yako mavazi matakatifu ili awe na utukufu na fahari.+ Kutoka 29:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mavazi matakatifu+ ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake watakapotiwa mafuta na kuwekwa rasmi kuwa makuhani. Mambo ya Walawi 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Kuhani atakayetiwa mafuta+ na kuwekwa rasmi*+ ili atumike akiwa kuhani baada ya baba yake,+ atatoa dhabihu ya kufunika dhambi na kuvaa yale mavazi matakatifu+ ya kitani.+
29 “Mavazi matakatifu+ ya Haruni yatatumiwa na wanawe+ baada yake watakapotiwa mafuta na kuwekwa rasmi kuwa makuhani.
32 “Kuhani atakayetiwa mafuta+ na kuwekwa rasmi*+ ili atumike akiwa kuhani baada ya baba yake,+ atatoa dhabihu ya kufunika dhambi na kuvaa yale mavazi matakatifu+ ya kitani.+