36 Kwa ajili ya mlango wa hema, utatengeneza pazia la nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa na kufumwa.+
2 “Mchukue Haruni na wanawe,+ pamoja na mavazi yao,+ na mafuta yanayotumiwa kutia mafuta,+ ng’ombe dume wa dhabihu ya dhambi, kondoo dume wawili, na kikapu cha mikate isiyo na chachu,+3 uwakusanye Waisraeli wote kwenye mlango wa hema la mkutano.”