Waebrania 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi, ile amri ya zamani inawekwa kando kwa sababu ni dhaifu na haifai.+ Waebrania 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja,+ lakini si uhalisi wa mambo hayo, haiwezi* kamwe kwa dhabihu zilezile zinazotolewa mwaka baada ya mwaka, kuwafanya wale wanaokaribia wawe wakamilifu.+
10 Kwa kuwa Sheria ina kivuli+ cha mambo mema yatakayokuja,+ lakini si uhalisi wa mambo hayo, haiwezi* kamwe kwa dhabihu zilezile zinazotolewa mwaka baada ya mwaka, kuwafanya wale wanaokaribia wawe wakamilifu.+