3 Kile ambacho Sheria ilishindwa kufanya+ kwa sababu ilikuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu alifanya kwa kumtuma Mwana wake mwenyewe+ akiwa katika mfano wa mwili wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, akiihukumu dhambi katika mwili,
9 Hema hili ni mfano kwa ajili ya wakati huu,+ na kulingana na mpango huu, zawadi na dhabihu zinatolewa.+ Hata hivyo, haziwezi kufanya dhamiri ya mtu anayefanya utumishi mtakatifu iwe kamilifu.+
9 Msipotoshwe na mafundisho mbalimbali yaliyo mageni, kwa maana ni bora moyo uimarishwe kwa fadhili zisizostahiliwa, bali si kwa vyakula,* ambavyo haviwanufaishi wale wanaojishughulisha navyo.+