-
Mambo ya Walawi 23:37, 38Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 “‘Hizo ndizo sherehe za Yehova za majira+ mnazopaswa kutangaza kuwa makusanyiko matakatifu+ ya kumtolea Yehova dhabihu hizi zinazochomwa moto: dhabihu ya kuteketezwa+ pamoja na toleo lake la nafaka+ na matoleo ya vinywaji+ kulingana na ratiba ya kila siku. 38 Mtazitoa pamoja na dhabihu zinazotolewa wakati wa sabato za Yehova,+ pamoja na zawadi zenu,+ dhabihu zenu za nadhiri,+ na matoleo yenu ya hiari+ ambayo mnapaswa kumtolea Yehova.
-